Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 24:11-12

Mithali 24:11-12 SRUV

Uwaokoe wanaochukuliwa ili wauawe; Nao walio tayari kuchinjwa uwaopoe. Ukisema, Sisi hatukujua hayo; Je! Yeye aipimaye mioyo siye afahamuye? Naye ailindaye nafsi yako siye ajuaye? Je! Hatamlipa kila mtu sawasawa na kazi yake?

Soma Mithali 24