Methali 22:10-12
Methali 22:10-12 BHN
Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma. Mwenye nia safi na maneno mazuri, atakuwa rafiki wa mfalme. Mwenyezi-Mungu hulinda elimu ya kweli, lakini huyavuruga maneno ya waovu.
Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma. Mwenye nia safi na maneno mazuri, atakuwa rafiki wa mfalme. Mwenyezi-Mungu hulinda elimu ya kweli, lakini huyavuruga maneno ya waovu.