Mithali 22:10-12
Mithali 22:10-12 NENO
Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma. Yeye apendaye moyo safi na yeye ambaye maneno yake ni ya neema, mfalme atakuwa rafiki yake. Macho ya BWANA hulinda maarifa, bali huyapinga maneno ya asiye mwaminifu.