Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 21:14-16

Methali 21:14-16 BHN

Hasira hutulizwa kwa zawadi ya siri; tunu apewayo mtu imefichwa hupooza ghadhabu. Haki ikitekelezwa watu wema hufurahi, lakini watu waovu hufadhaishwa. Anayetangatanga mbali na njia ya busara, atajikuta ametua miongoni mwa wafu.

Soma Methali 21