Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 19:13-14

Methali 19:13-14 BHN

Mtoto mpumbavu ni balaa kwa baba yake; na ugomvi wa mke ni kama matone ya mvua yasiyoisha. Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa wazee wake, lakini mke mwenye busara hutoka kwa Mwenyezi-Mungu.

Soma Methali 19