Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 19:13-14

Mithali 19:13-14 NENO

Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha. Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa BWANA.