Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 16:6-7

Methali 16:6-7 BHN

Kwa utii na uaminifu mtu huondolewa dhambi, kwa kumcha Mwenyezi-Mungu huepuka uovu. Mwenyezi-Mungu akipendezwa na mwenendo wa mtu, huwageuza hata adui zake kuwa marafiki.

Soma Methali 16