Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 16:6-7

Mithali 16:6-7 SRUV

Kwa rehema na kweli uovu husafishwa; Kwa kumcha BWANA watu hujiepusha na maovu. Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye.

Soma Mithali 16