Methali 13:7-8
Methali 13:7-8 BHN
Baadhi hujidai kuwa matajiri kumbe hawana kitu; wengine hujiona kuwa maskini hali wana mali tele. Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.
Baadhi hujidai kuwa matajiri kumbe hawana kitu; wengine hujiona kuwa maskini hali wana mali tele. Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.