Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 13:2-3

Methali 13:2-3 BHN

Mtu mwema hupata mema kutokana na maneno yake, lakini wadanganyifu huishi kwa ukatili. Achungaye mdomo wake huyahifadhi maisha yake, anayeropoka ovyo hujiletea maangamizi.

Soma Methali 13