Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 13:15-16

Methali 13:15-16 BHN

Kuwa na akili huleta fadhili, lakini njia ya waovu ni ya taabu Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake.

Soma Methali 13