Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:38-39

Mathayo 5:38-39 BHN

“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’ Lakini mimi nawaambieni, usimlipize kisasi mtu mbaya. Mtu akikupiga kofi shavu la kulia, mgeuzie pia la pili.