Mathayo 5:38-39
Mathayo 5:38-39 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’ Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia.
Shirikisha
Soma Mathayo 5Mathayo 5:38-39 Biblia Habari Njema (BHN)
“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho, jino kwa jino.’ Lakini mimi nawaambieni, usimlipize kisasi mtu mbaya. Mtu akikupiga kofi shavu la kulia, mgeuzie pia la pili.
Shirikisha
Soma Mathayo 5