Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 12:36-37

Mathayo 12:36-37 BHN

“Basi, nawaambieni, siku ya hukumu watu watapaswa kujibu juu ya kila neno lisilofaa wanalosema. Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”