Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 12:36-37

Mathayo 12:36-37 NENO

Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa maelezo kuhusu kila neno walilonena lisilo la maana. Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”