Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yobu 15:1-3

Yobu 15:1-3 BHN

Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu: “Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu? Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Soma Yobu 15

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yobu 15:1-3