Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yobu 15:1-3

Yobu 15:1-3 BHN

Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu: “Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu? Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Soma Yobu 15