Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 15:1-3

Ayubu 15:1-3 SRUV

Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema, Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki? Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?

Soma Ayubu 15