Ayubu 15:1-3
Ayubu 15:1-3 NENO
Kisha Elifazi Mtemani akajibu: “Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki? Je, aweza kubishana kwa maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?
Kisha Elifazi Mtemani akajibu: “Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki? Je, aweza kubishana kwa maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?