Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mateo 13:20-21

Mateo 13:20-21 SRB37

Lakini zilizomiagwa penye miamba ni kama mtu anayelisikia Neno na kulipokea papo hapo kwa furaha. Lakini hana mizizi moyoni mwake, ila analishika kwa kitambo kidogo tu. Yanapotukia maumivu au mafukuzo kwa ajili ya Neno, mara hujikwaa.

Soma Mateo 13