Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 13:20-21

Mathayo 13:20-21 SCLDC10

Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye neno hilo na mara akalipokea kwa furaha. Lakini halishiki na mizizi ndani yake; huendelea kulizingatia neno hilo kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya neno hilo, anakata tamaa mara.

Soma Mathayo 13