Warumi 4:1-3
Warumi 4:1-3 SRUV
Basi, tusemeje juu ya Abrahamu, baba yetu kwa jinsi ya mwili? Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu. Maana Maandiko yasemaje? Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.



