Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 37:5-7

Zaburi 37:5-7 SRUV

Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumainie, naye atakutendea. Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama jina la adhuhuri. Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.

Soma Zaburi 37