Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 37:5-7

Zab 37:5-7 SUV

Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya. Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama adhuhuri. Ukae kimya mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa saburi; Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu afanyaye hila.

Soma Zab 37

Picha za Aya za Zab 37:5-7

Zab 37:5-7 - Umkabidhi BWANA njia yako,
Pia umtumaini, naye atafanya.
Ataitokeza haki yako kama nuru,
Na hukumu yako kama adhuhuri.
Ukae kimya mbele za BWANA,
Nawe umngojee kwa saburi;
Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake,
Wala mtu afanyaye hila.Zab 37:5-7 - Umkabidhi BWANA njia yako,
Pia umtumaini, naye atafanya.
Ataitokeza haki yako kama nuru,
Na hukumu yako kama adhuhuri.
Ukae kimya mbele za BWANA,
Nawe umngojee kwa saburi;
Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake,
Wala mtu afanyaye hila.