Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 17:13-15

Zaburi 17:13-15 SRUV

Inuka, Ee BWANA, umkabili, umwangushe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi yangu na mtu mbaya. Ee BWANA, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao liko katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao, Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.

Soma Zaburi 17