Zab 17:13-15
Zab 17:13-15 SUV
Ee BWANA, usimame, umkabili, umwinamishe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi na mtu mbaya. Ee BWANA, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao li katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao, Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.