Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 141:1-2

Zaburi 141:1-2 SRUV

Ee BWANA, nimekuita, unijie hima, Uisikie sauti yangu nikuitapo. Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba, Kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni.

Soma Zaburi 141