Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 141:1-2

Zaburi 141:1-2 NENO

Ee BWANA, ninakuita, njoo kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita. Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.