Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 14:1-2

Zaburi 14:1-2 SRUV

Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema. Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye hekima, Amtafutaye Mungu.

Soma Zaburi 14