Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 14:1-2

Zaburi 14:1-2 NENO

Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka, matendo yao ni maovu kabisa; hakuna hata mmoja atendaye mema. BWANA anawachungulia wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna mwenye hekima, yeyote anayemtafuta Mungu.