Zaburi 119:81-82
Zaburi 119:81-82 SRUV
Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako. Macho yangu yamefifia kwa kuitazamia ahadi yako, Nikisema, Lini utakaponifariji?
Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako. Macho yangu yamefifia kwa kuitazamia ahadi yako, Nikisema, Lini utakaponifariji?