Zaburi 119:81-82
Zaburi 119:81-82 Biblia Habari Njema (BHN)
Niko hoi kwa kukungojea uniokoe; naweka tumaini langu katika neno lako. Macho yangu yanafifia nikingojea ulichoahidi. Nauliza: “Utakuja lini kunifariji?”
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:81-82 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako. Macho yangu yamefifia kwa kuitazamia ahadi yako, Nikisema, Lini utakaponifariji?
Shirikisha
Soma Zaburi 119