Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:81-82

Zaburi 119:81-82 NENO

Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako, lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako. Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako; ninasema, “Utanifariji lini?”