Mithali 29:2-4
Mithali 29:2-4 SRUV
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua. Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali. Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.