Mithali 27:4-6
Mithali 27:4-6 SRUV
Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu. Lawama ya wazi ni heri, Kuliko upendo uliositirika. Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.
Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu. Lawama ya wazi ni heri, Kuliko upendo uliositirika. Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.