Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 26:24-26

Mithali 26:24-26 SRUV

Achukiaye huficha chuki kwa midomo yake; Naye huweka akiba ya hila moyoni mwake. Anenapo maneno mazuri usimsadiki; Kwa maana ana machukizo saba moyoni mwake. Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.

Soma Mithali 26