Mithali 26:24-26
Mithali 26:24-26 SRUV
Achukiaye huficha chuki kwa midomo yake; Naye huweka akiba ya hila moyoni mwake. Anenapo maneno mazuri usimsadiki; Kwa maana ana machukizo saba moyoni mwake. Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.