Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 19:6-7

Mithali 19:6-7 SRUV

Watu wengi watamsihi mkuu ili awafadhili; Na kila mtu ni rafiki yake atoaye zawadi. Ndugu zote wa maskini humchukia; Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye! Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.

Soma Mithali 19