Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 19:13-14

Mithali 19:13-14 SRUV

Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima. Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.

Soma Mithali 19