Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 23:1-3

Mathayo 23:1-3 SRUV

Kisha Yesu akawaambia makutano na wanafunzi wake, akasema, Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa; basi, yoyote watakayowaambia, myashike na kuyatenda; lakini kwa mfano wa matendo yao, msitende; maana wao hunena lakini hawatendi.

Soma Mathayo 23