Mathayo 23:1-3
Mathayo 23:1-3 NENO
Kisha Yesu akaambia wale umati wa watu na wanafunzi wake: “Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi kwenye kiti cha Musa, hivyo inawapasa kuwatii na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini msifuate yale wanayotenda, kwa sababu hawatendi yale wanayohubiri.