Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 23:1-3

Mathayo 23:1-3 NENO

Kisha Yesu akaambia wale umati wa watu na wanafunzi wake: “Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi kwenye kiti cha Musa, hivyo inawapasa kuwatii na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini msifuate yale wanayotenda, kwa sababu hawatendi yale wanayohubiri.