Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 2:16-18

Mathayo 2:16-18 SRUV

Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi. Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema, Sauti ilisikiwa Rama, Kilio na maombolezo mengi, Raheli akiwalilia watoto wake, Asikubali kufarijiwa, kwa kuwa hawapo tena.

Soma Mathayo 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 2:16-18