Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 1:21-22

Ayubu 1:21-22 SRUV

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe. Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu.

Soma Ayubu 1