Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayu 1:21-22

Ayu 1:21-22 SUV

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nili uchi, nami nitarudi tena huko uchi vilevile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe. Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu.

Soma Ayu 1