Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 1:21-22

Ayubu 1:21-22 NENO

akasema: “Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi, nami nitaondoka uchi, BWANA alinipa, naye BWANA ameviondoa; jina la BWANA litukuzwe.” Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa kumlaumu Mungu kwa kufanya ubaya.