Zab 73:21-23
Zab 73:21-23 SUV
Moyo wangu ulipoona uchungu, Viuno vyangu viliponichoma, Nalikuwa kama mjinga, sijui neno; Nalikuwa kama mnyama tu mbele zako. Walakini mimi ni pamoja nawe daima, Umenishika mkono wa kuume.
Moyo wangu ulipoona uchungu, Viuno vyangu viliponichoma, Nalikuwa kama mjinga, sijui neno; Nalikuwa kama mnyama tu mbele zako. Walakini mimi ni pamoja nawe daima, Umenishika mkono wa kuume.