Ee BWANA, mfalme atazifurahia nguvu zako, Na wokovu wako ataufanyia shangwe nyingi sana. Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake. Maana umemsogezea baraka za heri, Umemvika taji ya dhahabu safi kichwani pake. Alikuomba uhai, ukampa, Muda mrefu wa siku nyingi, milele na milele. Utukufu wake ni mkuu kwa wokovu wako, Heshima na adhama waweka juu yake. Maana umemfanya kuwa baraka za milele, Wamfurahisha kwa furaha ya uso wako. Kwa kuwa mfalme humtumaini BWANA, Na kwa fadhili zake Aliye juu hataondoshwa.
Soma Zab 21
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zab 21:1-7
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video