Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 105:12-15

Zab 105:12-15 SUV

Walipokuwa watu wawezao kuhesabiwa, Naam, watu wachache na wageni ndani yake, Wakatanga-tanga toka taifa hata taifa, Toka ufalme mmoja hata kwa watu wengine. Hakumwacha mtu awaonee, Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao. Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.

Soma Zab 105