Zaburi 105:12-15
Zaburi 105:12-15 NENO
Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake, walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine. Hakuruhusu mtu yeyote awadhulumu; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema: “Msiwaguse niliowapaka mafuta; msiwadhuru manabii wangu.”

