Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mt 1:22-25

Mt 1:22-25 SUV

Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi. Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe; asimjue kamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU.

Soma Mt 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mt 1:22-25