Zaburi 119:86-88
Zaburi 119:86-88 NENO
Amri zako zote ni za kuaminika; unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu. Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia, lakini sijaacha mausia yako. Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako, nami nitatii sheria za kinywa chako.